Sometimes yes sometimes no. π€£π€£Ukiona utopwinyo anaongoza ligi basi ujue Simba hajacheza...
Mechi ya wanaume ni kesho
Yaan tushindwe sisi aiseeeDalili za mvua ni mawinguu..
Simba Bingwaaaaa
Acha hizo basi na wewe π kwani tunacheza na nani?Cheza mechi zetu mwanangu,
Afu mechi inayokuja una draw tena, 1-1
Pole kitoto..hebu acha kushadadia mipira tuachie dada zako hahahahaNimelia sana, leo hata kula siliπ
Mpelekee na maji ya kunywa apoze maumivu πHujambo wapi Bwana sema kweli umeumiaaaa Mrs Chasambiπ π
Sawa mdogo wangu we tuchambe tu. π€£π€£Nimefurahi vibaya mno....
Walikuwa busy kufagia kwa jirani wakasahau kufagia kwaoπ
Kubet mhindi atakusumbua fungua kanisa una nyota ya unabiiπSio nianze kubet mkuuuπππ
Lol. Kausha basi Mkuu.Mpelekee na maji ya kunywa apoze maumivu π
Wanatunga sheria hapo,wanatani waseme kocha hajui ila ndio kwanza wamempokea leo kwenye official games
πππππIv leo ndo walisema kutakuwa na maokoto kwa ajili ya chasambiπ
Tulia Mr Chasambi jibu utalipata keshoSometimes yes sometimes no. π€£π€£
Kama yule dada aliomba maji ya Kunywa kwenye shooMpelekee na maji ya kunywa apoze maumivu π