FT: JKT Tanzania 0-0 Yanga | Meja Generali Isamuhyo stadium | Ligi kuu NBC | 10.2.2025

Yanga bila figusu hakuna kitu. Leo wameshindwa kuhonga wachezaji na wameshindwa kuruka ukuta pia hawakuweza kujidunga sindano zao kenge sana hawa
watafanya ivo siku ya nyau wala hakuna shida

kama hawajafanya yote hayo mbona hawajafungwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…