Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mpira haujaisha?? Uishe nikaleweuto wanaanzaje kuwafunga makamanda wa nchi bhana, ntashangaa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira haujaisha?? Uishe nikaleweuto wanaanzaje kuwafunga makamanda wa nchi bhana, ntashangaa sana
Dakika mkuu ya ngapiNaona wanajeshi wametukalia Kooni tunaelekea kupoteza point mbili au kuacha point zote tatu
mbona upendeleo wao huwa n kwa nyau tuHata kinyesi atoe tuuu si mnataka marefa wawe hawapendeleii
Ha ha ha ha.mbona upendeleo wao huwa n kwa nyau tu
point 3 zote zinaenda jangwani dakikaaa za jiooooniNaona wanajeshi wametukalia Kooni tunaelekea kupoteza point mbili au kuacha point zote tatu
Hapa kuna shida ya kimkataba, mwanasheria wa Yanga anakula ela ya bure. Ramovic hakubanwa na mkatabaSasa viongozi wafanyeje wakati kocha amekimbilia mpunga mrefu?
HatariiiiDraw ya bila Magoli
Hii ni drawNa bado, ya Azam yatawakuta Tu
DrawLazima tushinde 1-0
Wewe bwana weeeeeNazidi kukazia leo uto anakufa 1-0
Duke ndiyo nani sasa kwenye Yanga??Duke in , 86'
Wangese wahwa wanataka sepa na laki mbili zangu 😭😭😭😭😭Mpaka sasa hatujapata goli🥹