makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kalale na njaa.Sasa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalale na njaa.Sasa nini?
Muache mdg wangu 😀 😀 😀Kwanza una usingizi, pili huna njaa wewe,
Yaani uwe na njaa kweli halafu yanga afungwe ndio ushindwe kula!! Hiyo yanga ni mama yako mzazi? Wacha kujipa umuhimu kwenye vitu vya hovyo mdogo wangu, we yanga hata vyoo vyake vya jangwani hujui unafananaje?
Huo mbembelezo huwa nawapa wakaka wa simba tuu... 😀 😀Mh,bembelezo.
Wacha weee 🤣🤣🤣unahangaika mkuu,yanga haizuiliki,haishikiki
Wacha tumshitue shitue ndonga hiyo, hatuna mdogo mzembe mzembe, yanga ndio anakuwa hivyo akipigwa tukio la mapenzi si tutakakosa haka. 😂Muache mdg wangu 😀 😀 😀
Bwahahahahahahaaaaaunahangaika mkuu,yanga haizuiliki,haishikiki
Atajifunza kwa mapana zaidi baada lile boko la mahojiano na goli la kujifunga kwa makusudi wiki iliopitaHaka katoto ka chasambi katakuwa kalifunga na kusali sana ili lawama zipungue.
😃😃Yaani inataka kuwa kama gari la Mkaa. Pyeee.
#Tripmojashambamojagereji. Lol
Usijali mdogo wangu.Nisamehe bure Dada kipenzi...
Kwa mlichotufanyia.....Nimefurahi sana🤣
Ubaya Ubwela
Haponi huyuu 😅🤣Huyu alivyoanguka hivi na vijana wa mjini je?
Mtoto halali na helaMtoto halali na hela
Yaani wanabadili makocha kama vyupi vya KeMakocha Mwaka huu Watabadilishwa sana....Washafika watatu..na tutaendelea kuwahesabu..Na huyu Hamdi watamtimua...!
Kafanyaje tena
Wako pYaani wanabadili makocha kama vyupi vya Ke