Taratibu bas kushangilia gani mpk unanikanyaga mkuu? ππGooooaaal
ni yule yule Pacome aka mtu wa kalikiti anaipatia Utopolo goli la 2
Ko umeamua ku-capitilize kwenye ufupi etiπKila mtu sio kama andunje wako wa daraja mbiliMi nilete kwani ni mfupi km wewe?? π€£π€£π€£π€£
Tuteseke tu wenyeweNdiyo ilitakiwa sasa iwe mwisho kutumia uwanja mbovu kwenye ligi kuu.
PoleTaratibu bas kushangilia gani mpk unanikanyaga mkuu? ππ