Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize tatu sifuri zilikua za nini?.Ni ujinga kuwaza vya zamani
Mkuu, rekodi yao hii hapa kwenye haya mashindano. Hawapo hapo kwa bahati mbaya.Sikutizama game hiyo, siwezi kuhukumu, nasema nikionacho, jwanenga wanacheza hovyo, ahida ni simba nasi tunacheza hovyo tunashindwa kuwaadhibu kwa makosa yao.
Kabisa bossInahitajika kazi ya ziada kuwafunga sio mizaha ya kina onana
Vyovyote point 3 muhimuHata ukiisha mmeshinda haibadilishi kuwa Simba ni Mbovu Sana . .Tena hii ilikuwa halft time tu mshinde ...
Siishi kwa rekodi, naenda kwa nikionacha, kipindi cha kwanza jwaneng walikuwa hovyo, labda hiki cha pili walivyofanya hizi sub mbili.Mkuu, rekodi yao hii hapa kwenye haya mashindano. Hawapo hapo kwa bahati mbaya.
View attachment 2831533
Huwa hapendi kuzichambua 😂😂Muulize tatu sifuri zilikua za nini?.
Mpira umerudi kwa wenye mpira...sasa tumeanza kuona tofauti
Nazungumzia nikionacho sheikj, hiyo game waliyomfunga wydad sikuiona, mpira una mengi, bingwa wa super cup, kwao aliishia nafasi ya ngap!?Ila maalim usisahau haohao juzi wamempiga mwanafainal wa African super league
Acha fitnaGoooooooooooooooooool
Unataka watu wanye🤭🤭Goooooooooooooooooool
Sawa boss ila rikodi zinaonyesha jamaa si wabovu na inaonekana ni aina ya mchezo kutumia mda mwingi kuzuia kisha wanakuotea.S
Siishi kwa rekodi, naenda kwa nikionacha, kipindi cha kwanza jwaneng walikuwa hovyo, labda hiki cha pili walivyofanya hizi sub mbili.
Unataka watu wanye[emoji2960][emoji2960]
Acha fitna