FT: Jwaneng Galaxy 0 Simba SC 2

Sawa timu ya wavunja kuni na wakata miwa, mara ooooooooh sisi tuna pira Biriani, now mnavunja kuni tu uwanjani
hizo kuni zetu ndio zinatupeleka makundi,nyie endeleeni kutafuta muunganiko
 
hizo kuni zetu ndio zinatupeleka makundi,nyie endeleeni kutafuta muunganiko
Huu mwaka huko makundi hamna chochote mtafanya kwa kikosi hiki nyie makolo bwenzi zaidi ya kupata zile Goal tano tano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…