Nothing mkuu.Mikimbio yake tu anaonesha ni Namba 9 hatare.
π π pole jamani..tuombee kesho tusije pigwa mapigo tukauanza mwendo...Imeniliza sana π
Kwa kikosi gani sasa?Mkuu tuwe serious Kweli ungeweza kunionya dhidi ya Kagera !?
Tupigwe na Majushaa?π π pole jamani..tuombee kesho tusije pigwa mapigo tukauanza mwendo...
Noma sana hawa vijana wa 'bahasha'...Ni goli halali kabisa, Uto wamebebwa ila kiukweli walikuwa wamefungwa
Mtashinda usiogope mtani wanguππ€£π π pole jamani..tuombee kesho tusije pigwa mapigo tukauanza mwendo...
π€£πAlikuwa anaruka ruka kama churaMtani kwani Joseph hakuwepo hata sub???.... π π π
Sio kocha mbaya, ila ana mentality ya kudharau timu na kujiamini zaidi. Leo timu imekuwa na kiwango kibovu sana kwasababu ya kukosa match fitness.siku zako zinahesabika.timu haina ubunifu kabisa
Sawa, atleast Leo mji utulieJirani umeanza lini hii tabia.
Haikuwa bahati. Tunaganga yajayo sasa.
Angalia gap la point kati ya timu yako na Yanga ndipo utagundua bado mna mlima mrefu wa kupanda.
Gape itafukiwa..hapo mna mechi kama 2 mtakandwa...Angalia gap la point kati ya timu yako na Yanga ndipo utagundua bado mna mlima mrefu wa kupanda.
Kupata pointi moja, siyo mbaya kwa timu iliyokuwa inapoteza muda tangu dakika za mwanzo.
π π π ππ€£πAlikuwa anaruka ruka kama chura
Uache kukariri maisha[emoji16]Jirani umeanza lini hii tabia.
Haikuwa bahati. Tunaganga yajayo sasa.
Sawa mkuu. Ngoja nimalizie kibarua nakujaMkuu OKW BOBAN SUNZU habari yako naomb nitext inbox, nn issue ya muhimu unisaidie tafadhali π