Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #41
Hawa jamaa wanataka kutupa sukari hapa 😂😁😁Daaah kuna nafasi 2 hapa Uto chup chup
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa wanataka kutupa sukari hapa 😂😁😁Daaah kuna nafasi 2 hapa Uto chup chup
Ndivyo mnavyofanyaga?Uto tembezeni miamala. Hali tete
Tutajuana bdaeHahahaaa. Kweeenddraaaa. [emoji1731][emoji1731]
Hukawii kukimbilia lile liaidii lako. 😎😎Tutajuana bdae
Mechi haina hadhi ya kuwekwa live. Timu ndogo hizi
Subiri wafunge utaona Uto humuMbona uzi umepoa sana kulikoni
🤣😂😂😁😁Mechi haina hadhi ya kuwekwa live. Timu ndogo hizi
Atatoka huyu anazingua sana yaaniFarid Mussa anashindwa kutumia akili kubwa kama wenzie wakina Yao
Beki wanakabia macho tu leoHii beki ya gift na kipa metacha kuna hati hati tukatanguliwa hata goal 2 leo