OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
HT 0-0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utopolo wafanye Nini kipindi cha pili?😁😁🤣HT 0-0
Uko sahihi Chifu ingawa Yanga tumebebwa goli la wazi kabisa walistahili Kagera Suger.Hao wanaoenda AFCON mbona wanarekebishwa na VAR? Wamejaa makosa kibao tu huko AFCON. Juzi hapa tu SADIO MANE kabebwa.
Mkuu nashukuru sana kwa kukumbusha hilo jambo, bila shaka NALIA NGWENA kamuona mchezaji aliyekuwa ana mteteaKuna mjinga alikua anamlaumu gamondi kua hampangi Farid Musa, kwa ujinga anaocheza Farid inabidi msimu ujao tumsindikize popote aendapo na fimbo kabisa
Nimetetea ujinga au nimeongea ukweli. Marefa wana changamoto kote hata huko kwenye usaidizi wa VAR.ONGEA KIMPIRA USITAKE KUTETEA UJINGA.
Ni kweli tumebebwaUko sahihi Chifu ingawa Yanga tumebebwa goli la wazi kabisa walistahili Kagera Suger.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mpaka sasa hawajaweza?HT 0-0
Wamefunga?Mwana jf Alieko nyuma ya jukwaa wanapofunga yanga saii samalekooo 🖐️
Mpaka saii Bila bilaWamefunga?
Wengine tuliona, ilikuwa nguvu ya soda.Katika wachezaji Yanga tulijua tumelamba dume na tulimuimba sana ni Max nzengeli, lakini cha ajabu kashuka kiwango vibaya mno. Kawa wa kawaida mno
Kuna kila dalili maombi yangu kujibiwa.Mpaka saii Bila bila
🤣😁Mwana jf Alieko nyuma ya jukwaa wanapofunga yanga saii samalekooo 🖐️
WACHEZAJI WOTE WAZITO TU LEO SIYO FARIDI HATA PACOME NAE WEWE UNAANGALIA MPIRA AU UNASIKILIZA KWENYE REDIO.??Mkuu nashukuru sana kwa kukumbusha hilo jambo, bila shaka NALIA NGWENA kamuona mchezaji aliyekuwa ana mtetea
Ni sahihi, Zizou alionekana wa kawaida sana ila ndio hatari sanaWengine tuliona, ilikuwa nguvu ya soda.
Na mara nyingi huwa inakuwa hivyo.
Wakina Mayele, Aziz, Pacome walianzia chini kuelekea juu.
Max alianzia Juu kuelekea chini.
Na hiyo ndio nature
YupoKuna kila dalili maombi yangu kujibiwa.
Pacome hayupo?