FT: Kagera sugar FC 0-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 29.08.2024

FT: Kagera sugar FC 0-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 29.08.2024

Ninyi hili swala la utekaji mnalichukuliaje mm Napenda Mpira na yanga ni timu yangu ila sina amani kbsa nikiona watanzania wanzangu wanatekwa na kisha kupotezwa kusiko julikana, nachoka sna napatwa hasira sna natamni hz timu zote zitewa kimataifa
 
Halafu sielewi kwanini Gongowazi wanakuwa obsessed na live View attachment 3082211 wakati ina rangi nyekundu ambayo haiendani na utamaduni wao.

Hawa waliwahi ku change logo ya Vodacom kwasababu ya rangi nyekundu.

Leo naona inekuwa tofauti yani rangi nyekundu imekuwa kitu cha kulilia na wanapocheleweshewa wanatua na huruma kama wamedhurumiwa haki yao ya msingi.
We pimbi siku Ke wako akivaa chupi ya kijani usimpelekee moto ili wahuni wakusaidie kazi maana bila shaka hujui hata umuhimu wa mimea na miti ya kijani ndiyo inayokufanya upate hewa nzuri, vivuli, mbao na hata rutuba za ardhi.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Ninyi hili swala la utekaji mnalichukuliaje mm Napenda Mpira na yanga ni timu yangu ila sina amani kbsa nikiona watanzania wanzangu wanatekwa na kisha kupotezwa kusiko julikana, nachoka sna napatwa hasira sna natamni hz timu zote zitewa kimataifa
Ipelewe lawama Yanga.
 
Ninyi hili swala la utekaji mnalichukuliaje mm Napenda Mpira na yanga ni timu yangu ila sina amani kbsa nikiona watanzania wanzangu wanatekwa na kisha kupotezwa kusiko julikana, nachoka sna napatwa hasira sna natamni hz timu zote zitewa kimataifa
umekosea jukwaa mkuu


kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom