min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mmeshaanza😆😆😆Wahaya wameroga, ila Yanga tupo na Mungu.....tutashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeshaanza😆😆😆Wahaya wameroga, ila Yanga tupo na Mungu.....tutashinda
Sijamaanisha tutashindwa, nnachosema ni kwamba Yanga ni kubwa kuliko Shuntama walizotumia....Mmeshaanza😆😆😆
Kaka umeleft lini group? Me hasifiwi uzuri bali mashine na maokoto.Sisi ndio tunazo bahashaView attachment 3082212 nyie mnavizia supu za bure, hongereni sana mpo kwenye kikomo chenu cha mafanikio 😁
Bila tano mnazojinadi nyie ni magoigoi tu😛😛😛Sijamaanisha tutashindwa, nnachosema ni kwamba Yanga ni kubwa kuliko Shuntama walizotumia....
zinakujaBila tano mnazojinadi nyie ni magoigoi tu😛😛😛
Tulia kwanza tuliaaaa uje dakika ya 90 na sukari yako mkononiBila tano mnazojinadi nyie ni magoigoi tu😛😛😛
Ukiona kampe kampe tena ,unajifariji sio😛😛😛Tulia kwanza tuliaaaa uje dakika ya 90 na sukari yako mkononi
Hata awe Samia sisi tunachohitaji ni point tatu tu na si vinginevyo.Hii ni suluhu mdau
We pimbi siku Ke wako akivaa chupi ya kijani usimpelekee moto ili wahuni wakusaidie kazi maana bila shaka hujui hata umuhimu wa mimea na miti ya kijani ndiyo inayokufanya upate hewa nzuri, vivuli, mbao na hata rutuba za ardhi.Halafu sielewi kwanini Gongowazi wanakuwa obsessed na live View attachment 3082211 wakati ina rangi nyekundu ambayo haiendani na utamaduni wao.
Hawa waliwahi ku change logo ya Vodacom kwasababu ya rangi nyekundu.
Leo naona inekuwa tofauti yani rangi nyekundu imekuwa kitu cha kulilia na wanapocheleweshewa wanatua na huruma kama wamedhurumiwa haki yao ya msingi.
Ipelewe lawama Yanga.Ninyi hili swala la utekaji mnalichukuliaje mm Napenda Mpira na yanga ni timu yangu ila sina amani kbsa nikiona watanzania wanzangu wanatekwa na kisha kupotezwa kusiko julikana, nachoka sna napatwa hasira sna natamni hz timu zote zitewa kimataifa
Mods tunaomba mtutolee huyu mtu .Ninyi hili swala la utekaji mnalichukuliaje mm Napenda Mpira na yanga ni timu yangu ila sina amani kbsa nikiona watanzania wanzangu wanatekwa na kisha kupotezwa kusiko julikana, nachoka sna napatwa hasira sna natamni hz timu zote zitewa kimataifa
Iangalie alikuquote weweNotification ya nani
umekosea jukwaa mkuuNinyi hili swala la utekaji mnalichukuliaje mm Napenda Mpira na yanga ni timu yangu ila sina amani kbsa nikiona watanzania wanzangu wanatekwa na kisha kupotezwa kusiko julikana, nachoka sna napatwa hasira sna natamni hz timu zote zitewa kimataifa