Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
-
- #121
Yanga hawana hata wale dhaifu dhaifu wa kuwachezesha na watu wadogo wadogo kama hawa kina sukari.....Nimeona Kikosi ni Heavy Duty
ndio ndio kikosi cha kumpiga mtu hikiNimeona Kikosi ni Heavy Duty
ππππππππππππππππππππππππππππNawatakia kila la heri marafiki zangu wa ukweli ephen_ Vincenzo Jr Evelyn Salt Mahondaw
Ujembe ,mpigwe tu mamaakeeπππ
Kwa hiyo mnajiona mtashinda? π€£π€£π€£We nshakuzoea jukwaa zima unaongoza kwa kujifariji πΉπΉ na haujui kukata tamaa.....
Ngekua mzazi wako walah ngekuita FARAJA π€£π€£
leo ushindi lazima kakaKaitabaka imewakataa kwa mara ingine
Katika hali kama hiyo dawa ni kuwa na mikeka miwili, mmoja wa kuwaombea kheri mwingine wa kuwaombea mabaya. Hapo utakuwa unaishi katika uhalisia wa Ubaya Ubwelaaa!Natamani yanga apasuke ila nikikumbuka mkeka wangu nakua mpole...
πππleo ushindi lazima kaka
Hapana.leo ushindi lazima kaka
Ndo maana mnashonewa vitenge, kwa hiyo mechi zilizopita si za ligi ya NBC?Bora uzi umeletwa na mwana familia, siyo wale makolo wanajiwahi kufungua uzi halafu tukifunga wanagoma kutoa update.
Ligi inaanza leo. All the best Yanga
Kajifunze kwanza kuandika lioneeeeNawatakia kila la heri marafiki zangu wa ukweli ephen_ Vincenzo Jr Evelyn Salt Mahondaw
Ujembe ,mpigwe tu mamaakeeπππ
Hatujayaona tangu msimu uanze. Yataanza sasa.Ngoja tukaone makosa ya Kibinadamu leo
Alisikika Semaji la MasandaKolozdad [emoji23][emoji23][emoji23]