uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Haya Goooooooooooal Pacomeeee chuma hiyo 🙄🙄Yanga haitaki kuchelewa dakika 5 goli.... Kalilie mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya Goooooooooooal Pacomeeee chuma hiyo 🙄🙄Yanga haitaki kuchelewa dakika 5 goli.... Kalilie mbele
Kumbe Pep siyo mbaguzi tumsingiziaga tu!Hii sio haki. Kuna Wachezaji watatu wa Man City wameanza kwenye line up ya Yanga, uhamisho wao ulifanyika lini?
Daaah inatokeaga Yanga akicheza tuHatujayaona tangu msimu uanze. Yataanza sasa.
5 kwinyoYanga 5
Wala miwa 0
bado hamjasemaDube kapiga kipuuzi sana yeye na kipa kampa kacheza kama Yikpe.
Juzi tu hapa ngao ya jamii kidogo mngelamba vinne5 kwinyo
Atafunga naona ana mzuka sanaDube inapaswa atulie kwenye eneo lake watu wa kumlisha mipira wengi sana
Ndio uwezo wake huo, msipe uwezo asiokuwa naoDube inapaswa atulie kwenye eneo lake watu wa kumlisha mipira wengi sana
Nilisema wanasema sijui ballKiuchambizi bila upendeleo technically yanga hawana timu
Ana mzuka kweli anapaswa tu arelax magoli mengi sana yapo miguuni mwakeAtafunga naona ana mzuka sana
Atafunga mbuzi kamba.Atafunga naona ana mzuka sana
Uwezo wake yeye kufunga ndo tunaudiscuss apa au tumesema hajui kudaka??Ndio uwezo wake huo, msipe uwezo asiokuwa nao