Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 unaumwa wewe.....Nawatakia kila la heri marafiki zangu wa ukweli ephen_ Vincenzo Jr Evelyn Salt Mahondaw
Ujembe ,mpigwe tu mamaakee😜😜😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 unaumwa wewe.....Nawatakia kila la heri marafiki zangu wa ukweli ephen_ Vincenzo Jr Evelyn Salt Mahondaw
Ujembe ,mpigwe tu mamaakee😜😜😜
Tutapiga tano max akagawane na ndugu zake.....Kabisa, halafu hawajui kama Max anatokea Bukoba
Hii ni suluhu mdauSisi tunahitaji point 3 muhimu, huo upuuzi wenu wa clean sheet bakini nao mpate ubingwa na kombe la clean sheet.
Muda badoYanga yangu sijaizoea hivi mpaka dakika hii mtu ajapigwa 3
Haya naona Half Time na mnaongoza kwa 4-1Tutapiga tano max akagawane na ndugu zake.....
😂😂Unalinganisha Utopolo na Simba?
Acheni mambo yenu bana
Evelyn Salt , sina baya na nyie 😊Nawatakia kila la heri marafiki zangu wa ukweli ephen_ Vincenzo Jr Evelyn Salt Mahondaw
Ujembe ,mpigwe tu mamaakee😜😜😜
😂😂Wagombea supu hamna ushawishi😆😆😆😆😆
Sisi ndio tunazo bahasha😂😂
Wenye ushawishi ni ninyi wazee wa 'kulalamikia bahasha'..?
Hunifikii mimi, Yanga alitakiwa kuongoza goli 4 - 0 first half time na kuongeza 3 second half time ili Makolokolo yabaki kubweka bweka kama mmbwa koko 😏😡Hawa wapuuz wameniuz magoli yote yale khaaa
Halafu sielewi kwanini Gongowazi wanakuwa obsessed na liveKabisa, halafu hawajui kama Max anatokea Bukoba
Wameyumba sana kipindi Cha kwanza , Azizi Ki Leo kajituma sana kacheza kitimu hajaleta ubinafsi sehemu ambazo nimezoea kuona anafosi anapiga au kutaka kuleta mambo mengi Leo anatoa pasi na kutengeneza clear chances ila watu wanamuangusha.Yanga wametengeneza nafasi nyingi sana za wazi wameshindwa kuzitumia. Mpaka sasa magoli yalistahili kuwa 4+ ni uzembe mkubwa kupoteza nafasi nyingi kiasi hiki
Ile ilikuwa bonge la movement Aziz Ki amecheza vizuri sana ila Pacome kapiga kipuuzi.Pacome naanza kumtilia shaka hivi unakosaje pale? Hajamtendea haki Aziz ki
Ya GSM yenyewe wame change. GSM original colour zao ni red n blackHalafu sielewi kwanini Gongowazi wanakuwa obsessed na live View attachment 3082211 wakati ina rangi nyekundu ambayo haiendani na utamaduni wao.
Hawa waliwahi ku change logo ya Vodacom kwasababu ya rangi nyekundu.
Leo naona inekuwa tofauti yani rangi nyekundu imekuwa kitu cha kulilia na wanapocheleweshewa wanatua na huruma kama wamedhurumiwa haki yao ya msingi.
Makolokolo SC nayalia timing tu, siku tu yakifungwa nitayamiminia nick names zao yote hapa ila naomba ulinzi Utopolo nisipopolewe kwa mawe.😂😂
Wenye ushawishi ni ninyi wazee wa 'kulalamikia bahasha'..?