Hayajanya madhara!Simba wanafanya mashambulizi ila bado hayajanya madhara kwa Simba
Papatu papatu inaumiza macho.Unacheki ball?
Wanasubiri matokeo ya mwisho walete midomoHata hapa huoni wamejificha? 😂😂😂
Mimi siamini kwenye ndumba FREDDY anakosa umakini mechi imeanzaa kua ngumu kwetu 😊Balaaa.
Wameloga hawa