FT: Kagera Sugar FC 2-5 Simba SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 21 Dec 2024

FT: Kagera Sugar FC 2-5 Simba SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 21 Dec 2024

Tembosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,487
Reaction score
3,978
Mtanange mkali sana leo.
21/12/2024.

MCHEZO WA LIGI KUU TANZANIA BARA.

Uwanja : Kaitaba Stadium Kagera
.
Mwenyeji : Kagera Sugar FC
Mgeni : Simba SC ya Dar Es Salaam
Muda : 10 jioni.


downloadfile-2.jpg


KIKOSI.
20241221_154050.jpg

KIKOSI CHA SIMBA
20241221_151245.jpg
 
Kikosi changu cha kuanza cha Simba na Kagera.

1. Kamala -spider man
2. Husein- shabalala
3. Kapombe-mpambanaji
4. Hamza-beki makini
5. Chamou-beki lenye nguvu
6. Kagoma-mkabaji mahili
7. Dr. Lucho Awesu Iniesta
8. Ngoma-mutu ya kazi
9. Ateba-mtupiaji
10. Mavambo Fernandez Xavi
11. Vallentino Nouma
(Kibu D. akae jukwaani kabisa apumzike)
huku kushoto Husein akipanda, Nouma anarudi kukaba kutakuwa kwa moto sana.
Dr. Lucho atakuwa anawalainisha huku kulia ili wajisahau amwage maji.
Kagera kwa Simba ni wagumu sana hasa wakiwa kwao hivyo wanatakiwa kuwekewa watu wa kazi ngumu tu.
Cc Matola.
 
Back
Top Bottom