FT: Kagera Sugar Vs Yanga(0-1) | Ligi kuu Bara | Kaitaba

FT: Kagera Sugar Vs Yanga(0-1) | Ligi kuu Bara | Kaitaba

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Hayawiii Hayawiii, Siku Imewadia, Ni mtanange wa Kukata Na Shoka Katika Ya Kagera Sugar na Yanga, Timu hizi Zinakutana zote zikiwa na Wachezaji Wengi Wapya.

Uwanja Mzuri, Teams Nzuri Zikicheza leo Pale Kaitaba Kagera.

Je Timu ya Wananchi Itaanza Vizuri Mchezo wake wa Kwanza Wa Ligi Kuu? Au Itamfuata Mtani Wake, Ni suala La Muda

Tuwe Pamoja Hapa Kwa Dakika 90

Here We go…View attachment 1957228
View attachment 1957229

Screenshots_2021-09-29-17-54-23.png


Goli la Feisal Salum dakika ya 24 lilitosha kuizamisha Kagera na kuipa Yanga alama tatu muhimu kwenye mchezo wake wa kwanza wa ligi kuu kwenye uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera.

Kagera Sugar 0-1 Yanga
24' Feisal Salum
 
yanaga wakiwa na shots on target 3
 
mayelle anakosa kichwa..
 
dk ya 18 mambo bila bila
 
yusuph lwenge mchezaji wa yanga anapata kadi ya kwanza ya njano ...
 
Yacouba ni mchezaji aliyeinyima Yanga kuongoza goli mpaka sasa. Anafanya vitu vya ovyo
 
  • Thanks
Reactions: Lee
dk ya 20 milango bado migumu
 
sema hii pichiiiii inashawishiiii dadekiiiiii
 
dk ya 25... yakuuuuuubaaaaaa anakosaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom