escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,473
- 2,868
Fei Toto anamfundisha Bocco captain wa timu unatakiwa kufanya nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio Yanga ninayoijuwa. [emoji123][emoji123]goaaaaaaaaaaal yanga wanapata bao la kuongoza kupitia kwa fei toto
Hana utulivunaunga mkono hoja, ni kama ana wenge la kufunga.
Kweli wewe NGURUWE PORI. Feisal amfundishe BOCCOFei Toto anamfundisha Bocco captain wa timu unatakiwa kufanya nini.
hahahahahahKuna mtu aliniambia nafanya nini Simba wakati handsome boi wa yanga 'Fey Toto anafanania jina Kama langu 🤣🤣
mkuu umechanganyaKAGERA1 YANGA0
kunywa bia unazotaka goli la fei toto litakamilisha bili.Kweli wewe NGURUWE PORI. Feisal amfundishe BOCCO
Mkuu hukuwah kua na timu?Twende kazi mwananchi..nimeanza kufall in love rasmi na soka la bongo na nakaa jangwani rasmi.
Sikuwahi kuwa na timu kama labda nilivyo shabiki lialia wa Man United..Mkuu hukuwah kua na timu?
Au matokeo ya mechi tatu hizi ndio yamekufanya utukimbie wana msimbazi
Kwa Yanga ,furaha ni ya kitambo tuSikuwahi kuwa na timu kama labda nilivyo shabiki lialia wa Man United..
Sasa imetokea tu saivi nimekuwa na mahaba na Yanga..acha nikae hapa.
Man Utd inachokufanya lazima utafute comfort zone nyingine, kule sana sana utajifunza kutukana tu.Sikuwahi kuwa na timu kama labda nilivyo shabiki lialia wa Man United..
Sasa imetokea tu saivi nimekuwa na mahaba na Yanga..acha nikae hapa.
Hahahaha..acha uhuni we mzee..Man United muda sio mrefu watanipa furaha coz siku za Ole zinahesabikaMan Utd inachokufanya lazima utafute comfort zone nyingine, kule sana sana utajifunza kutukana tu.