Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Karibu mkuu...! Ila hujatoka mikia kweli wewe mkuu?Sikuwahi kuwa na timu kama labda nilivyo shabiki lialia wa Man United..
Sasa imetokea tu saivi nimekuwa na mahaba na Yanga..acha nikae hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu mkuu...! Ila hujatoka mikia kweli wewe mkuu?Sikuwahi kuwa na timu kama labda nilivyo shabiki lialia wa Man United..
Sasa imetokea tu saivi nimekuwa na mahaba na Yanga..acha nikae hapa.
Thanks mkuu..no sijawahi,if so ilikuwa ni kwenye champions league ile tu kutaka klabu ya TZ isonge mbele ya mashindano..Karibu mkuu...! Ila hujatoka mikia kweli wewe mkuu?
Tupo pamoja mkuuHadi sasa Sijaona Kitu cha ajabu walichokifanya Yanga. Inashangaza kuona Simba Alifungwa Vipi na Yanga Hii.
Goli ni Uzembe wa Beki mmoja Wa Kagera, Karudishiwa mpira akiwa Peke Yake, Akaremba remba Yacouba Akamtisha akachukua Mpira akampa mayele Mayele Akapiga shot kipa kacheza wakati anarudi kujiandaa tena Fistoni kaunga Ikawa Goli. Ila hili ni Goli la Uzembe Sana
Hadi sasa Game Hii Kagera Akitulia Anarudisha Goli.
Ole kaongezewa mkataba majuzi tu, hata umbea tu kuwa anafukuzwa hakuna.Hahahaha..acha uhuni we mzee..Man United muda sio mrefu watanipa furaha coz siku za Ole zinahesabika
Nyie wenye maajabu jana mmeshinda ngapi?Yanga hawana maajabu basi tu walituotea..wanakata moto kipindi cha pili..yaani kama sio ile misumari waliowapiga baadhi ya wachezaji wa simba siku ile wangetoka na aibu ukizingatia presha ya mashabiki kwa kipindi kile.
Sisi ni cha nguruwe tu mkuu. Lakini watoto 15Tatizo la Uto ni kufunga goli moja yani wao wazee wa Kimoko tu! Hii inatia mashaka kuhusu uwezo wao
Karibu mkuu,ushuhudie kabumbu muruaYanga hii noumaa..kumbuka mimi simba
Basi hukushuhudia ile game kwa utulivu. Ile game YANGA wangetulia vizuri wawe wanashambulia kwa mkupuo,wangepata mabao hata 3.Hadi sasa Sijaona Kitu cha ajabu walichokifanya Yanga. Inashangaza kuona Simba Alifungwa Vipi na Yanga Hii.
Goli ni Uzembe wa Beki mmoja Wa Kagera, Karudishiwa mpira akiwa Peke Yake, Akaremba remba Yacouba Akamtisha akachukua Mpira akampa mayele Mayele Akapiga shot kipa kacheza wakati anarudi kujiandaa tena Fistoni kaunga Ikawa Goli. Ila hili ni Goli la Uzembe Sana
Hadi sasa Game Hii Kagera Akitulia Anarudisha Goli.
Kumbuka hii Yanga ni tofauti na Simba ambayo imeweka kambi Morocco takribani mwezi mzima na kucheza mechi mbili za kirafiki za kimataifa. Haikutosha ikaenda kambi Arusha na kucheza mechi za kirafiki tatu. Kama tumekuwa na maandalizi hafifu ya timu lakini tunashinda kimoko. Je tungekuwa na maandalizi kama walivyofanya Simba ingekuaje!Tatizo la Uto ni kufunga goli moja yani wao wazee wa Kimoko tu! Hii inatia mashaka kuhusu uwezo wao
yess kagera wamecheza vizur kipindi cha pili ,,,Tatizo la Uto ni kufunga goli moja yani wao wazee wa Kimoko tu! Hii inatia mashaka kuhusu uwezo wao
ndio maana hampo champions League coz ya kusifia huu ujinga. Teams need prep for better performances. Kumfunga Simba haimaanishi mko vizuri. no. Effects za kutofanya mechi za kutosha za preparation zitaonekana league inavyosonga. mark my words.Kumbuka hii Yanga ni tofauti na Simba ambayo imeweka kambi Morocco takribani mwezi na kucheza mechi mbili za kirafiki za kimataifa. Haikutosha ikaenda kambi Arusha na kucheza mechi za kirafiki tatu. Kama tumekuwa na maandalizi hafifu ya timu lakini tunashinda kimoko. Je tungekuwa na maandalizi kama walivyofanya Simba ingekuaje!
Naona refa pia kawabeba sana leo..mnatamani mpira uishe.Nyie wenye maajabu jana mmeshinda ngapi?