FT: Kagera Sugar Vs Yanga(0-1) | Ligi kuu Bara | Kaitaba

FT: Kagera Sugar Vs Yanga(0-1) | Ligi kuu Bara | Kaitaba

ndio maana hampo champions League coz ya kusifia huu ujinga. Teams need prep for better performances. Kumfunga Simba haimaanishi mko vizuri. no. Effects za kutofanya mechi za kutosha za preparation zitaonekana league inavyosonga. mark my words.
Yanga hawapo champions league kwasababu walifeli kwenye maandalizi ya timu na ndio maana kocha kakiri wazi kuwa anahitaji miezi mitata ili timu iwe na muunganiko mzuri. Lakini tujiulize pia swali kwanini Simba ambao waliwekeza zaidi kwenye maandalizi ya timu, wana struggle kupata matokeo?
 
Kocha wa Yanga anafanya mabadiliko ya kipumbavu.

Kaseke na Nchimbi hawana quality ya kuchezea Yanga kwa sasa
 
Huna macho mkuu?ila maneno yasiwe mengi muda utaongea.
Nataka uniambie tukio lipi umetafsiri kitu gani kwenye hilo tukio Kama unaongelea kuhusu kushikwa kwa mpira, ni kweli mpira ulishikwa lakini kabla ya tukio la kushikwa kwa mpira, mchezaji wa Kagera alikuwa kwenye offside position. Hata ukiangalia kwenye marejeo ya video unaona mchezaji wa Kagera kazidi na ndio maana mshika kibendera kaishiria ni offside.
 
Nataka uniambie tukio lipi umetafsiri kitu gani kwenye hilo tukio Kama unaongelea kuhusu kushikwa kwa mpira, ni kweli mpira ulishikwa lakini kabla ya tukio la kushikwa kwa mpira, mchezaji wa Kagera alikuwa kwenye offside position. Hata ukiangalia kwenye marejeo ya video unaona mchezaji wa Kagera kazidi na ndio maana mshika kibendera kaishiria ni offside.
Haya mkuu..hongereni kwa ushindi.
 
Refa kawabeba sana
Mchezaji mmoja wa uto kaunawa refa katoa offside
 
Kocha wa Yanga anafanya mabadiliko ya kipumbavu.

Kaseke na Nchimbi hawana quality ya kuchezea Yanga kwa sasa
Sijui nchimbi anapendewa nini, kwanini Yusuf Athuman asichezeshwe? Nchimbi sio mchezaji wa kucheza Yanga
 
Kwani wewe ulitakaje?! Kwani umeudhika? Au umeumia? Pengine umekereka? Au you're kwa mpigo?
 
Yanga hawapo champions league kwasababu walifeli kwenye maandalizi ya timu na ndio maana kocha kakiri wazi kuwa anahitaji miezi mitata ili timu iwe na muunganiko mzuri. Lakini tujiulize pia swali kwanini Simba ambao waliwekeza zaidi kwenye maandalizi ya timu, wana struggle kupata matokeo?
Suala la Simba haimaanishi ukiwa na maandaliz Safi ndio utashinda Tu. Kwa kuanzia Simba Ku draw Jana sio.mbaya.
Mbaya kama itakua ndio Hadi draw draw draw. Kufungwa na Yanga haimaanishi kwamba Simba hawako vizuri.
Simba ni timu nzuri Sana na wao pia wanahitaji mda kama yanga wanavyohitaji.
Kumbuka wachezaji muhimu Sana kwa Simba wameuzwa kwa donge Nono kabisa kuashiria ubora wao. So timu Lazima imelega tukatae au tukubali. Walioachwa na walioongezeka kuziba pengo la walioondoka yaweza chukua muda kiasi.
Simba iko vizuri kwakweli.

Sent from my Redmi 7A using JamiiForums mobile app
 
Ilisharudiwa sina cha kubisha ila mmebebwa
Naomba nenda kwenye marejeo ya video kisha angalia mpira wakati unapigwa huyo mchezaji wa Kagera alikuwa kwenye position ipi?
 
Back
Top Bottom