Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wimbo gani? Amina au bia tamu? Au wowote?usisahau dj kuweka wimbo wa marioo
bia tamuWimbo gani? Amina au bia tamu? Au wowote?
Mkuu kwani vipi kuna tatizo?Hii timu ndo ilikaa pre season ya kuunga unga na haina muunganiko. [emoji23]
form is temporary, class is permanent.
Mkuu una uhakika hii timu ni ya bongo hapa kweli [emoji23]Mkuu kwani vipi kuna tatizo?
Endelea kuomba,hapo itakuwa unamuomba shetani tu. Maana MUNGU hana time na maombi kama hayoNawaombea mabaya Yanga.
Amen....
no, usifungiwe hadi utopolo na timu zingine zote pia wacheze paleUle uwanja wa Musoma ufungiwe. Biashara watumie Nyamagana. Tunataka kujua Nani ana mpira wa kuvutia sasa hivi
limewapita mabeki wawili na kipa kapigwa dobo [emoji23] hili goli lina hadhi ya magoli mawili.Bao lilikuaje wakuu ? Bonge la shuti ? Wengine tupo mbali na Tv , itakuwa bonge la move .
Mlio kwenye tv chambueni bao la dogo feiBao lilikuaje wakuu ? Bonge la shuti ? Wengine tupo mbali na Tv , itakuwa bonge la move .
Wamefunga Yanga anza kujipongeza na mataptapAkifungwa Yanga mnishitue nijipongeze na bia
Unapoteza radha ya mpirano, usifungiwe hadi utopolo na timu zingine zote pia wacheze pale
Katika msafara wa mambaKAGERA1 YANGA0
Bao lilikuaje wakuu ? Bonge la shuti ? Wengine tupo mbali na Tv , itakuwa bonge la move .