Mautopolo kwa sasa yanauogopa huu uzi ila roho zao kwatu!!!! Baada ya 90 minutes kama tutafungwa watavyoshuka kuushambulia uzi huu kama mpira wa kona!!!! Shadeeya πππ
Nimepewa hela na Dingi nikalipe bili ya maji nikatandaza mkeka kwa Simba,sasa yule mzee namwambia lugha gani anielewe?,ni Brigedia mstaafu wa jeshi na leo asubuhi alikua akiifuta futa vumbi bastola yake,,,!!