NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Simba tumekua pisi ya Kaizer,dah,,,!
Ila ndo soka lilivyo,tutajipanga vema zaidi mwakani mziki utakua wa kufa mtu.
Simba nguvu moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba tumekua pisi ya Kaizer,dah,,,!
Hii picha inanikera,si uitoe!.
Hapa umenena vema, nakubaliana naweWee jamaa uliangalia mpira tuliona sie au wewe ulikuwa unaangalia tofauti?..
Tatizo binadamu wa siku hzi ni wabishi sana.Yagangwe yajayo...
Nyie kesi yenu na Morison cas imefikia wwapiFIFA ndio wenye mpira wao ile kesi ikifika mezani kwao nachukua point 3 na TFF inakula fine.
Halafu nimekumbuka hivi ile barua yenu aliyoipost manara anaipeleka FIFA miaka mitatu ya nyuma ili wapate points za huruma ilishia wapi.
NB.
Nasisitiza uzalendo uzalendo uzalendo,tukae mpaka mwisho,tupo pamoja mtani.
Pole mtoto mzuri eeenh! Tutawaambia wawafunge mbili mechi ijayoHii picha inanikera,si uitoe!.
Kwanini nyinyi watopolo mnatubughudhi wenzenu tupo kwenye majonzi?
Tumekuwa wenzenu lini?Mna majonzi ya nini?Hii picha inanikera,si uitoe!.
Kwanini nyinyi watopolo mnatubughudhi wenzenu tupo kwenye majonzi?
Sisi wote ni binadamu na ni watanzania,tushikamane wakuu.Tumekuwa wenzenu lini?Mna majonzi ya nini?
Nijibu ya barua ya Manara nitakwambia ya Morrison.Nyie kesi yenu na Morison cas imefikia wwapi
Acha ujinga wa kujipendekeza kwetu, mmekuwa Mtoto Khumbu kwa wazulu!Sisi wote ni binadamu na ni watanzania,tushikamane wakuu.
Simba nguvu moja.
Sawa, ila msaada tuliowapa nyinyi watani ni mkubwa, tumepambana kufa na kupona ili na nyinyi mpande ndege.Acha ujinga wa kujipendekeza kwetu,mmekuwa Mtoto Khumbu kwa wazulu!
Ndege sio kitu kigeni kwetu hata hayati pepe kalle anajua! Nyie ya ndege ndiyo Mashkolo mageni mkuu!Sawa,ila msaada tuliowapa nyinyi watani ni mkubwa,tumepambana kufa na kupona ili na nyinyi mpande ndege.
Doh! SidhaniHuku kwenye radar naiona simba ikishinda kwa goli moja...
Wenzako mnaona nini huko?
Mmh acha uongo manBwalya kuwa MotM
Namuona akitawala dimba mithili ya Iniesta katika ubora wake.
Doh! Profesa wa nini?Prof. Gomes Darosa nipigie hawa mbwa