FT: Kaizer Chiefs 4-0 Simba SC | Klabu Bingwa Afrika CAFCL | FNB Stadium

FT: Kaizer Chiefs 4-0 Simba SC | Klabu Bingwa Afrika CAFCL | FNB Stadium

Leo tumefungwa tukubali. Ila tutakuwa tumepata funzo la kuto kujiamini kupitiliza na kuheshimu mpinzani hasa ukiwa ugenini.

Haya yote ndio yaliyotuponza. Pia tumekuwa exposed kwenye eneo la ku deal na cross. Hapa kocha afanyie kazi maana team nyingine zitakuwa zimeona udhaifu ambao ulijificha ila umefichuliwa leo.

All in all Simba bado tuko vizuri. Tukutane kwa mkapa.
 
Aah

Tumefungwa ujue alafu unatuandikia barua n

Hakuna cha game plan mkuu leo Simba imezidiwa kwa mbinu chache sana tena sana.
Kaizer hawakua na mambo mengi na kila nafasi waliyopata walitumia vema kwa 90% kupata magoli.
Simba ni timu hasa tena ni timu bora ila kwenye soka kufungwa kupo na hauwezi kushinda ama ku-draw kila mechi lazima kuna siku utafungwa tena kwenye hatua muhimu ya kusonga mbele kama hatau ya leo kwa Simba.
Wee jamaa uliangalia mpira tuliona sie au wewe ulikuwa unaangalia tofauti?

Game plan ya kwanza kabisa mlipozidia ni kwenye goal kicks zao. Walikuwa wanalenga kwa kapombe na second half wakalenga kwa tshabalala na hiyo plan imezaa goli.

Game plan ya pili: kucheza na back 5.
Hii ilimaanisha kwamba chama na konde boy walikuwa wamezibiwa zile nafasi zao wanazopenda kutumia kutengeza magoli.
 
Mkuu mpaka mnawapiga hizo nne wao wanakuwa wamesinzia?

Kosa kubwa mlilolifanya Simba leo ni kuruhusu goli nne zote! Maana yake mna kibarua kigumu sana cha kurudisha hayo magoli
Kweli goli nne ni nyingi, kuwapiga nne au zaidi kwa Mkapa ni ngumu sana.
Kwa Mkapa wanaweza kufa ila goli zaidi ya tatu ama nne sidhani.
Leo Simba tepigwa na kitu kizito kichwani,Nyati kagoma kuliwa na Simba leo.
 
Beki Leo zimetuangusha. Lakini Kaizer Chief Wanafungika hata Goli Tano. Kama Ilivyokuwa kwa As Vita Nina Hakika Dar Tutashinda Zaidi ya Goli 4 Tulifanya Hivyo kwa As Vita, Fc Platnumz Hakika Tutaishangaza Afrika
Hao As Vita mliwafunga tano? Au umemfananisha na Ruvu shooting?
 
Bwahaha! Hiki leo ndiyo kinaitwa cha mbwa kokoooo
Hivi yule ndundami wa Manara Scars yuko wapi ??? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Sijui ameshalala,dah,,!' hiki kipigo sio cha nchi hii,Simba timu yangu kweli ya kupigwa nne bila tena wakiwa full ngwamba!
 
Beki Leo zimetuangusha. Lakini Kaizer Chief Wanafungika hata Goli Tano. Kama Ilivyokuwa kwa As Vita Nina Hakika Dar Tutashinda Zaidi ya Goli 4 Tulifanya Hivyo kwa As Vita, Fc Platnumz Hakika Tutaishangaza Afrika
Ni matumizi mabaya ya akili kiufananisha Kaiser Chiefs na Platnums, tena Platnums mliwashinda kwa fitna za corona.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom