Leo TMA imeingia chakautabiri wa leo??
Tupate goli la ugeniniHao wakija kwa mkapa tunawachapa 4
We umekimbia taifa juzi tulia.Wazee wa Total War,Do or Die,wazee wa WIDA [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] na hapo wamecheza bila mashabiki ,je wangekuwa na mashabiki wao sijui ingekuwaje na hapo ndio hawapo vizuri.
Jamani tuwe wazalendo tubaki kwenye viti vyetu mpaka dk ya mwisho.
Huyu hana kitu mnamuovareti tuChama kapoteza nafasi adimu
Nani kamkimbia mwenzie,mimi nilifika saa kumi na moja wewe ulikiwepo wapi.We umekimbia taifa juzi tulia.
Mmeanza kutoa sababuMagoli yale yale Kapombe hayupo
Kwa Kizulu tano wanaita kuhlanu🤣Tunaweza kula khamsa hapa hii safu ya beki ikiendelea kulala
Kocha amtoe kiungo mkabaji mmoja aweke kiungo mshambuliaji
Jamaa yuko slow sana. Mpira wa kuunganisha anatuliza na bado akapiga pumba.Chama kapoteza nafasi adimu