FT: Kaizer Chiefs FC 0- 4 Young African SC | Toyota Cup | Free State Stadium, Bloemfontein | 28.07.2024

Simba watakwambia gsm katembeza bahasha namungo fc had SA
 
Kwa mpira upi mnaoucheza? Nyie jidanganyeni siku hiyo mtatoka nduki na vitenge vyenu
Kaka hii Yanga sio ya kuisemea haya. Mimi Yanga ikiwa unga mwana huwa nasema mbona. Simba kumfunga Yanga ni mambo ya mpira. Mpira unadunda ila hii Yanga ni kisanga tukiweka ushabiki pembeni.

Wewe hiyo tarehe ikifika muendee tena bila guard uone kama hawajaupdate namba tano kwenye jezi zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…