Umeulizwa pale juu, hizo shule mlienda kusomea ujinga? πππKakojoe ulale huu uzi haukufaiiiiiiii
inaonekana unadaiwa deni na linakutesa= natabiri.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Si ndio hawa walikupiga mkono kasoro mojaHauna haja ya kutabiri, just nenda tu kwenye ligi yao uangalie misimu mitano iliyopita, utaijua Kaizer Chiefs ikoje.
Saizi wameacha kusema wanakwambia ni bonanzaπ π mana wanajua tukisema bahasha bata wao tumewapa bahashaSimba watakwambia gsm katembeza bahasha namungo fc had SA
HaohaoπSi ndio hawa walikupiga mkono kasoro moja
Labda wakaze masaburiChiefs wakiendelea kukaza hivi watapata goli.
Darsa limekuingia.inaonekana unadaiwa deni na linakutesa
Njoo pm niwekee namba nkupe hata 30 ikupush leo
AaaahahahaSi ndio hawa walikupiga mkono kasoro moja
Bado hamjasema lakini muda utasemaKaizer chiefs hii utaifananisha na ile ya kina samir nurkovic?
πππ Haya chukua leso futa chozi alafu rudia kusemaDuke abuya ni useless yanga wamepingwa
Kesho watasema Kaizer haikupanga Festi Ileveni yao π€£π€£π€£π€£π€£Saizi wameacha kusema wanakwambia ni bonanzaπ π mana wanajua tukisema bahasha bata wao tumewapa bahasha
Saizi utaskia ooh mnacheza na watu kikosi B sio first eleven
Simba haijacheza mechi ya ushindani tukaiona, Ingecheza tungejua kama hiyo tarehe 8 ni balaa linakuja au Batiki watatafutana, na kama ni balaa linakuja kwa ukubwa gani.Kaka hii Yanga sio ya kuisemea haya. Mimi Yanga ikiwa unga mwana huwa nasema mbona. Simba kumfunga Yanga ni mambo ya mpira. Mpira unadunda ila hii Yanga ni kisanga tukiweka ushabiki pembeni.
Wewe hiyo tarehe ikifika muendee tena bila guard uone kama hawajaupdate namba tano kwenye jezi zao.
We hujui mpira mzize ni mchezaji mzuriSijui anampendea nini, Mzize ni mwangaa
Unamaanisha ile ilikupiga 4 clock?Kaizer chiefs hii utaifananisha na ile ya kina samir nurkovic?
Acha hizo.Bomu monchwari hili