joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Nimuulize Manara wa nini, wakati CAF ndio waliyo itoa hiyo faini ya USD 10k baada ya hiyo timu ya kipuuzi kuchoma pitch ya watu.Halafu Manara alikuwepo ktk wale walio tengeneza duara .......?Usikariri. Kama huna uhakika muulize msemaji wa timu ambaye pia ni afisa habari, Haji Manara
Tayari hii hapa ya koloHauna haja ya kutabiri, just nenda tu kwenye ligi yao uangalie misimu mitano iliyopita, utaijua Kaizer Chiefs ikoje.
Poa😂Bomu monchwari hili
Halafu Utopolo wako serious kinyama.Nabi kachezesha vijana wadogo kabisa, itakuwa anataka kuona vipaji.
Wanapambana kweli.Halafu Utopolo wako serious kinyama.
Dah!Wanapambana kweli.
Anataka watoto wake wapate uzoefu.Dah!
Nabi ana dharau sana aisee
Kilichomkuta Sasa
Sio huyuKilichomkuta Sasa
Aahhaa
Sawa kocha!We hujui mpira mzize ni mchezaji mzuri
Amakosi wanatest vijana.
Sisi hatujui hilo,😁Halafu Utopolo wako serious kinyama.