Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,135
- 1,826
Timu Haina First 11, unategemea ubingwa. Kocha akiona mtu amevaa jean nyekundu anawaza ni fundiii🤣🤣 vitapigwa Sanaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ayubu magoli makali 😂Ayubu ni Bora kuliko Diarra...
Lilisikika Kolo moja baada ya kugida chang'aa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Simba ni wabovu jamani.... mbona tunasemaga et.... Mi mwanasimba ila siiamini kwa lolote.Yaani huyu KMC amepigwa 5 -5 na Yanga na Azam, eti sie 2-2, ujinga huu. Tunastahili matokeo haya maana timu imecheza mpira mbovu kabisa
Naunga mkono hoja 🤣Timu Haina First 11, unategemea ubingwa. Kocha akiona mtu amevaa jean nyekundu anawaza ni fundiii🤣🤣 vitapigwa Sanaa.
Tuondolee utetezi wa kitoto hapa. Shuti la Tepsi lilikuwa na madhara gani Mita zaidi ya 30? Huyu ni Kindoki mweupe.Lakred hana kosa kabisa hapo. Walioruhusu apige akiwa free ndo wa kulaumiwa.
Kabisa A=B, B=C , 5imba= KMC = JKT level mojaMbona hao kupata sare ilikua iko wazi maana wote walipigwa 5 na YANGA [emoji16]
Kijana wa nje wa Mzee Mnata.Ayoub ni Metacha mtupu
Huu ndo ukweli. Kaja kaingizwa yule mtoto mwanuke, badala ya kucheza mpira anarukaruka tu. Vikipigwa benchi kelele nyingiiiSimba ni wabovu jamani.... mbona tunasemaga et.... Mi mwanasimba ila siiamini kwa lolote.
Tatizo ni Mangungu 😁😁😁Simba tatizo ni viongozi.
chama ndio tatizo pale kati, yuko slow sana alafu anatuhujumu kwa yangaYaani huyu KMC amepigwa 5 -5 na Yanga na Azam, eti sie 2-2, ujinga huu. Tunastahili matokeo haya maana timu imecheza mpira mbovu kabisa
Oooh mara tujikite tu shirikisho, ligi tu inawashinda! 😂Kutwa wapo busy kuishauri Yanga [emoji23][emoji23]
Ameteleza. Ila haya magoli yanauma sana. Wachezaji hawana budi kuelewa kuwa mpira ni mchezo wa makosa hivyo ni muhimu kuzuia makosa yasitokee.Tuondolee utetezi wa kitoto hapa. Shuti la Tepsi lilikuwa na madhara gani Mita zaidi ya 30? Huyu ni Kindoki mweupe.