Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup (ASFC), hatua ya robo fainali, kupigwa leo Jumatano ya Mei 26, 2021 ambapo Mabingwa Watetezi Simba SC, wanawakaribisha Dodoma Jiji FC kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Mchezo unatazamiwa kuwa mkali sana kwa kila timu kuhitaji ushindi ili kuweza kutinga nusu fainali? Usikose Ukasimuliwa.
Kumbuka mchezo huu wa ASFC ni kuanzia majira ya saa 1:00 Usiku.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
=========
Wakati wowote mpira utaanza uwanja wa Benjamin Mkapa
Naaaam mpira umeanza kombe la ASFC
Simba SC 0-0 Dodoma Jiji FC
10' Shutiiiiii kali la Miquissone linadakwa na golikipa Kalambo, ilikuwa nafasi nzuri kwa Simba SC na salama wa Dodoma Jiji
15' Hoza anapiga shuti la mbali na kutoka Sentimita chache ya lango la Simba SC
Simba SC 0-0 Dodoma Jiji FC
Justine anamuangusha Morrison eneo la 18 na refa anaamuru mkwaju wa penalty.
23' Bocco Goooooooooaaal
John Bocco anaipatia Simba SC bao la kwanza kwa mkwaju wa penalty
Simba SC 1-0 Dodoma Jiji FC
Free Kick kuelekea Simba SC, anapiga Ambundooooo lakini golikipa Manula anapangua na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda
41' Bocco Goooooooooooooaaal
John Bocco anahesabu bao la pili kwa Simba SC
Simba SC 2-0 Dodoma Jiji FC
45+2' Linapigwa Biriani hapa uwanja wa Mkapa kuelekea kuwa mapumziko
Naaaam mpira ni mapumziko ambapo Simba SC wapo mbele kwa mabao mawili kwa bila dhidi ya Dodoma Jiji
HT, ASFC | Simba SC 2-0 Dodoma Jiji
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Mkapa, mchezo umeanza kwa kasi kama kipindi cha cha kwanza
50' Dodoma Jiji wanasogea lango la Simba Linapigwa shutiiiiii loooooo golikipa Manula anaruka kuokoa hatari ile, lilikuwa jaribio nzuri kwa Dodoma Jiji
79' Wanakwenda sasa Simba kwake Kagere, lango la Dodoma Jiji lipo hatariniiiii
Goooooooooaaal Goooooooaaal
Maddie Kagere anaipatia Simba SC bao la tatu
Simba SC 3-0 Dodoma Jiji FC
90+3' Kuelekea kumalizika kwa mchezo, Simba wanapanga mashambulizi kwake Kagereeee anapiga shutiiiiii loooooo
Anakosa nafasi ya kufunga, golikipa Kalambo anaruka juu nakupangua mpira ule.
Biriani sasa, kwake Bwalya, kwake Duchu, mbele kuleeeee kumtafuta Morrison unatupwa pembeni kuleee kwake Mzamir
Naaaam mpira umekwishaaa ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao matatu kwa bila na kutinga nusu fainali dhidi ya Dodoma Jiji FC.
FT, ASFC | Simba SC 3-0 Dodoma Jiji FC.
...... Ghazwat
Mchezo unatazamiwa kuwa mkali sana kwa kila timu kuhitaji ushindi ili kuweza kutinga nusu fainali? Usikose Ukasimuliwa.
Kumbuka mchezo huu wa ASFC ni kuanzia majira ya saa 1:00 Usiku.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
=========
Wakati wowote mpira utaanza uwanja wa Benjamin Mkapa
Naaaam mpira umeanza kombe la ASFC
Simba SC 0-0 Dodoma Jiji FC
10' Shutiiiiii kali la Miquissone linadakwa na golikipa Kalambo, ilikuwa nafasi nzuri kwa Simba SC na salama wa Dodoma Jiji
15' Hoza anapiga shuti la mbali na kutoka Sentimita chache ya lango la Simba SC
Simba SC 0-0 Dodoma Jiji FC
Justine anamuangusha Morrison eneo la 18 na refa anaamuru mkwaju wa penalty.
23' Bocco Goooooooooaaal
John Bocco anaipatia Simba SC bao la kwanza kwa mkwaju wa penalty
Simba SC 1-0 Dodoma Jiji FC
Free Kick kuelekea Simba SC, anapiga Ambundooooo lakini golikipa Manula anapangua na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda
41' Bocco Goooooooooooooaaal
John Bocco anahesabu bao la pili kwa Simba SC
Simba SC 2-0 Dodoma Jiji FC
45+2' Linapigwa Biriani hapa uwanja wa Mkapa kuelekea kuwa mapumziko
Naaaam mpira ni mapumziko ambapo Simba SC wapo mbele kwa mabao mawili kwa bila dhidi ya Dodoma Jiji
HT, ASFC | Simba SC 2-0 Dodoma Jiji
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Mkapa, mchezo umeanza kwa kasi kama kipindi cha cha kwanza
50' Dodoma Jiji wanasogea lango la Simba Linapigwa shutiiiiii loooooo golikipa Manula anaruka kuokoa hatari ile, lilikuwa jaribio nzuri kwa Dodoma Jiji
79' Wanakwenda sasa Simba kwake Kagere, lango la Dodoma Jiji lipo hatariniiiii
Goooooooooaaal Goooooooaaal
Maddie Kagere anaipatia Simba SC bao la tatu
Simba SC 3-0 Dodoma Jiji FC
90+3' Kuelekea kumalizika kwa mchezo, Simba wanapanga mashambulizi kwake Kagereeee anapiga shutiiiiii loooooo
Anakosa nafasi ya kufunga, golikipa Kalambo anaruka juu nakupangua mpira ule.
Biriani sasa, kwake Bwalya, kwake Duchu, mbele kuleeeee kumtafuta Morrison unatupwa pembeni kuleee kwake Mzamir
Naaaam mpira umekwishaaa ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao matatu kwa bila na kutinga nusu fainali dhidi ya Dodoma Jiji FC.
FT, ASFC | Simba SC 3-0 Dodoma Jiji FC.
...... Ghazwat