FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

WERAAAAAAAAAAAA.....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna 🐕 haziamini kilichotokea🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kiherehere kimekuponza Mbumbumbu na siku nyingine usirudie tena kuanzisha uzi wa Mabingwa wako Yanga FC NBC PL 2022/2023....[emoji3]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Acha kuzuga hujaelewa. Kolo mwenzio amesema pamoja na kwamba team za confederation ni mbovu, bado Simba haikufika nusu fainali.

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwasababu kile kipindi kulikuwa na timu ngumu.

Jiulize kwanini wewe kile kipindi hukuweza kufika hata makundi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…