FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Yanga mwaka huu ni wenye bahati kubwa maana wanapangwa na matutusa wenzake tu akishindwa kubeba kombe mwaka huu basi itabidi asubiri miaka mia moja ijayo ndiyo bahati kama hii itakapo jirudia tena.
Na wewe kamtoe mwarabu ubebe hilo kombe la ligi yako tu limekushinda
 
Nimechungulia kwenye darubini ya kuangalia mwezi, leo Yanga anapasuka 2-0
Naona upo kwenye darubini
FpQIhIWX0AAvt4Z.jpg
 
Bora wewe ambaye unafikiria kutofika nusu kuliko mwenzako ambaye katika haya mashindano aliweka ambitions za kufika makundi lakini hakuweza kufikia lengo.

Yanga walikuwa na mipango ya kufika hatua ya makundi kwenye Club Bingwa, kutokana na ugumu wa mashindano ndoto yake imeyeyuka.

Wewe kuifikia robo katika mashindano haya sio jambo dogo na ndio maana hata pesa unaolipwa ni kubwa kuliko yule ambaye amefika nusu kwenye shirikisho.
Acha kuzuga hujaelewa. Kolo mwenzio amesema pamoja na kwamba team za confederation ni mbovu, bado Simba haikufika nusu fainali.

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom