FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Siti ya mbele
Uko siti ya mbele perfect position kushuhudia namna ngumi mpenyezo zinapomkuta mwananchi

Mliokaa eneo la mbele, wakati wa pambano la vitasa linaendelea ndio mtaokuwa wakwanza kusikia "ana nga'ata"
 
Huyu jamaa si nasikia alifungiwa na bodi ya ligi huko kwao baada ya kuonekana kwenye nafasi moja ye anafunga tatu?

Imekuwaje tena leo hii acheze?

This is not fair
 
Mkuu Kila Kitu Acha Kusikia Kwa Watu
Boss mi sisikilizi watu nasikiliza wanyama na ndege tu, pia nasikiliza music kwani umemaanisha watu wa wapi? Twiga street, Burundi au Bangladesh?
 
Za ndani zinasema rivers mazoezi yao huwa wanafanyia kwenye mto

Sasa kama shuti la kwenye maji tu kipa anababuka mikono je uwanjani itakuaje?😁😁


Leo naona kabisa shaolin soccer 2 inatoka
 
Sema Yanga wanachakujifunza Kwa Simba Duh so Kwa Moshi wa Jana [emoji23][emoji23] jamani mlikuwepo uwanjani kulikoni tuliokuwa mikoani kwenye mabanda tukajua Benjamin mpaka ndo basi tena imepigwa short ya umeme kumbe hamna bhana
 
Mbona unaandika sana hata sijasoma
Mlikandwaaa
Waidada wenu akakandwa
Furaha yetu imetimilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…