FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Hawa si ndo wale walimla mtu kwao na away hawa???au??
 
Nimekuwa mshabiki na nikiifatilia Rivers United tangu nikiwa nafanya shughuli zangu za bodaboda hapo jijini Lagos. Kila la heri kwa Rivers United
Usisahau hii ,maana mimi nipo nafanya uchambuzi naona kapicha ya kutisha kwa hawa jamaa.
 
Kwann akil zenu ziko negative sana..Kwann uwaze specifically USHOGA?? why not other stuffs? Are you a gay brother?
Why not honor your integrity if u really are a gentleman?
Have been infected by gaysm brother?
Lugha ya kitumwa (Malkia) imekukataa Ndugu, rudia la saba C au wahi haraka kwa Rasi Simba ujifunze upya.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Jeshi la mtu mmoja njooni Mbumbumbu fc wote! Hata mtukane Morocco mtakandwa week.

Mkishakandwa mje kushtaki nimekaa pale!!
Kheee kwani imekua kesi??
Punguza jazba mkaka/mbaba
Tusubiri muda tuenjoooooy mechi
 
Wanaija Kandeni huo mshono na maji ya motooo ufumuke....
Eee mbwai mbwai tuuu
Nyie wakutuombea mabaya kwa waidadi nyieeee basi ngoja na sisi tufanye vivyo japo maombi yenu hayakujibiwa mnasubiria ya Ijumaa..
[emoji1] [emoji1]
Kalpana tangu lini mi na wewe tukaombeana mabaya? ebu fungua moyo bhana au umeamua kuasi asili yako (uananchi/mwananchi) ?[emoji1]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Dah.. Kuiombea yanga ushindi inahitaji roho ngumu sana.. Anyway nawaombea mechi njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…