Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Huyo atakua analia mara mbili,kwanza ushindi wa yanga pili jina la id yake pendwa kutumika na mwana Yanga πππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha alikuwa kama hayupo vileMayele vua kinyago tumegundua wewe ni Benzema
Ahsante Mtani. ππHongereni sana Uto....mmeshatanguliza kichwa, mabega, kiuno na mguu mmoja nusu fainali bado mguu mwingine tu.
Sio kwamba ni ushindi wa bahasha mkuu?Rivers sio tuu ni wajinga ila hawana beki,ulishawahi ona wapi beki anamsindikiza mshambuliaji eti anaogopa kucheza fouls?
Tumeshinda mkuuLeo yanga tunaweza tukafungwa amini usiamini ila kuchomoka na ushindi leo ni ngumu sanaaaa.
Nina was was na mentality ya wachezaji toka tupigwe na kitu kizito kwenye mechi ya derby.wachezaji morali haiko juu kama pale awali.
Kama uchawi wa bagamoyo tu ulituchapa goli 2 sasa uchawi wa nigeria je??????
Hatimaye yametimiaKWA SASA MPIRA WA AFRIKA BILA DAR YOUNG AFRICANS NI SAWA NA MZINGA WA NYUKI BILA ASALI HAUNA THAMANI....
GO WANAJANGWANI....
#WANANCHI [emoji169][emoji172]
TUKIMPIGA RIVERS NAJUA KINA ZUWEZA WATANUNA NA KUSEMA TEMEMPIGA KIBONDE
YOUNG AFRICA 2 RIVERS 0
FT
πView attachment 2596907
ANAITWA NAZIRU AUWALU mshambuliaji wa TIMU YANGU YA UTOTONI YA RIVERS UNITED ya Nigeria [emoji1184] huko huyu anafunga hata akiwa benchi anakabwa na mabeki 7 mechi 10 anagoli 48 kacheza Aston Villa kila la kheri RIVERS UNITED amesema asipofunga leo anaacha kucheza mpira RIVERS UNITED NGUVU MOJA[emoji91][emoji91][emoji91][emoji1184][emoji1184][emoji1184]
Kwani nyie mkiwasha moto uwanjani ilikuwa mashindano gani?Kiwango kidogo mno mashindano haya
πOut of my bell shall flow RIVERS
RIVERS of living water iyaa iyaa eeh.
KILA LA KHERI RIVERS UNITED
Yaani bonge la pigo. πππHuyo atakua analia mara mbili,kwanza ushindi wa yanga pili jina la id yake pendwa kutumika na mwana Yanga πππππππ
Sio mbaya kwa ayo mafao yenu asanten kwa kushiriki sisi haoo nusu fainaliWanalipwa $450,000 sawa na 1,055,250,000
Wakati robo fainali Simba anakusanya zaidi ha Sh. 1,524,250,000 na 500,000 ya kutolea
Kwa hiyo yamekuwa mashindano ya hela na sio kombe tena?Wanalipwa $450,000 sawa na 1,055,250,000
Wakati robo fainali Simba anakusanya zaidi ha Sh. 1,524,250,000 na 500,000 ya kutolea
Bora wewe ambaye unafikiria kutofika nusu kuliko mwenzako ambaye katika haya mashindano aliweka ambitions za kufika makundi lakini hakuweza kufikia lengo.Kweli kabisa Rivers na timu za Nigeria ni weak sana ila bado sisi hatukufika Nusu
Hongeraa sanaaaa!!!Yeleuwiii! [emoji23][emoji23][emoji23]
Shukran Mtani. [emoji120] Naikawe hivyo.
Rekebisha kwanza haya maandishi yako. Wapigwe, au wapige?