Una hasira! Mimi sio nabii lakini najua upo underweight sababu ya stress za SimbaEmoji hatuihitaji humu.
Jukwaa la Msimbazi na mechi yetu. Chapeni lapa.
Hahaha, I will never be underweight!.Una hasira! Mimi sio nabii lakini najua upo underweight sababu ya stress za Simba
Pyeeeee..!🤸
Ukiwa umekunywa biaEquation x naomba uniwekee ile emoji ya yule mdada Dr Restart asikie hasira🤣🤸
Asante equationUkiwa umekunywa biaukiwa umekunywa wine
Hahahhahah!. Nimecheka sana.Asante equation
Dr Restart umeniona nimekunywa wine ya Yanga naserebuka tu 🤸💚💛
Una dhambi wewe! 😂Hahahhahah!. Nimecheka sana.
Hiyo wine ya Uto achana nayo. Wine gani unaanza kuserebuka nyuma? Au ndiyo unaiishi slogan yenu "daima nyuma, mbele mwiko"?
Wewe ushalewa. Endelea kuserebusha nyuma.Una dhambi wewe! 😂
Slogan yetu ni 'Daima mbeleeeee, nyuma Mwikoooo'
Sikia nikwambie mateso yakizidi huko, njoo nikupe kadi ya uanachamaWewe ushalewa. Endelea kuserebusha nyuma.
Wamemuumiza chama safi sana, mnadhani yanga wajinga kuyakataa haya mashindano, jawa haww KVZ walimtwanga konde la uso OKRAH akakaa nje ya uwanja kwa miezi kadhaa kitengo cha machela kikae sawa kuna majeruhi wakutosha leo