kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
90' tano za nyongeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilidhani hamuyafuatilii, kumbe karoho kameshindwa kutuliahaya ndiyo mashindano yenu na hili kombe litawafariji
Kuumia ni popote, refer Azam walivyowaumiza Pacome na YaoWamemuumiza chama safi sana, mnadhani yanga wajinga kuyakataa haya mashindano, jawa haww KVZ walimtwanga konde la uso OKRAH akakaa nje ya uwanja kwa miezi kadhaa kitengo cha machela kikae sawa kuna majeruhi wakutosha leo
kumbe mnafuatilia kimya kimya kwa uchungu 😀Utashangaa na hili kombe Makolo watalikosa🤸😂
Haya mashindano ya propaganda.
Japo mimi ni mwana Lunyasi ila kwa hili ni siasa tu.
Mapinduzi cup ni bora kuliko hiki kikombe cha chai
Mashindano yamekuja ghafla kuwaokoa kina Mangungu maana wanamzengo walishaanza kukunja sura. Au ni mbinu zaidi za kukutesa maana Azam watatuumbuaHaya mashindano ya propaganda.
Japo mimi ni mwana Lunyasi ila kwa hili ni siasa tu.
Mapinduzi cup ni bora kuliko hiki kikombe cha chai
HakikaMashindano yamekuja ghafla kuwaokoa kina Mangungu maana wanamzengo walishaanza kukunja sura. Au ni mbinu ya kukutesa tena maana Azam watatuumbua
Watapokonywa na ama Azam au KMKMUtashangaa na hili kombe Makolo watalikosa🤸😂
Kuna mashindano ya Raila Odinga Kisumu wakashirikiWakimaliza huko, Somalia Kuna mashindano Simba wapeleke na timu huko.
Nafasi ya arobaini, unaonekana jinsi gani haufatilii mpira unasubiria kusimuliwa. Misimu yote uliyocheza robo fainali umeambulia point 39 tu huku Yanga kafanya vizuri misumu miwili mfululizo tayari kafikisha point 31 hivyo ujishike maana soon kichaka cha ranking kinaenda kufyekwa kama kilivyofyekwa kichaka cha robo fainali.Pamoja na kufanya vizuri timu ya Yanga inadharaulika sana, haipati heshima kama Simba.
African Super Cup, Simba ilishiriki na kuchukua Bilioni tano kash money.
Mapinduzi Cup Simba inashiriki na sijaelezwa wanapata pesa kiasi gani.
Ubora wa timu ni ya 5 Africa.
Na hawaweki mabango.
Yanga ingeweka Mabango makubwa kwenye haya matukio ya Simba.
Timi ya nafasi ya Arobaini Afrika ina michecheto sana.
Na kujitutumua