FT: Ligi Kuu Bara | Dodoma Jiji FC 0-1 Simba SC | Jamhuri Stadium 22/01/2023

Dah hii mechi aibu naona mimi kujiita mshabiki wa simba.bora hata wangecheza vijana wa timu b hapa katikati kwenye viungo ,erasto ni mzito hatar wala kukimbia hawez

Kiufupi hawa mabeki wakati kama wamefungwa mawe miguuni ,shughuli hawana ,

Boko ndio sitaki kumzungumzia kabisa
 
Mbona leo Tanzania one wetu anafikiwa sana jamani?

Guvu moya 😀
 
Aisee kama coincidence na Simba tumetia mkwaju
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…