Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Kazingua sanaQattara ni fraud pale Simba Sc, ni beki mpumbavu sana ambaye sioni akiisaidia team kwa chochote.
Sawadogo ni player wa maana.
😀😀😀Kisa kafunga mkuu?Ila huyu Baleke mguuni pia upo
Ndiyo kusema huna imani na beki kisiki Mohamed Outtara, aliyenunuliwa wa dau kubwa kutoka timu maarufu kule Sudan!!Yani mpaka apone Enonga tutakuwa katika hali mbaya sana
huna timu, presha muda wote timu ama matesoMuda wa kuwakimbiza vyura kwenye huu uzi
Hujamuona hata anavyochukua mpira mkuu. Huwezi kumlinganisha na Bocco. Huyu akicheza na Chama, Saidoo na Sakho utopolo watajua hawajui.😀😀😀Kisa kafunga mkuu?
Muhimu tu baadaye msianze tena kumsema kama ilivyo kawaida yenu.Ila huyu Baleke mguuni pia upo
Huenda Putinbhuwa anailinda sana beki.....madogo Dodoma jiji wanapita katikatiLeo defence ya simba ...ni kuomba tu
Hakika. Ouatara ameshindwa kabisa kutumia fursa ya kuumia Inonga kujitaftia namba ya kudumuYani mpaka apone Enonga tutakuwa katika hali mbaya sana
Kuna mama alikuwa anamuuliza swali moja Mangungo ulilisikia?Hujamuona hata anavyochukua mpira mkuu. Huwezi kumlinganisha na Bocco. Huyu akicheza na Chama, Saidoo na Sakho utopolo watajua hawajui.
Wenyewe wanatuchukulia kwa uzito, kumbe tunawazingua tu. Maana hata wakishinda, haisaidii chochote. Kesho tukicheza, tunarudisha tena gap lile lile la point 6.huna timu, presha muda wote timu ama mateso
Guvu moya 😀Kwa Simba hii kama ni kushinda basi labda ishinde njaa