Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mpole acha atengeneze sivi.......Roho za misahama mmezipata lini?
Si mseme tu kuwa hakuna kitu mnawishi itokee kama George mpole kuwa mbele kwa magoli kumzidi mayele.
Moto waliopelekewa lazima achanganyikiweKagera tena Mzee........mbona mnachanganyikiwa mapema
Simba sio timu ndio maana wanategemea ndumba kama walivyojionyesha huko South Africa.Simba wasituletee ujinga ,kimataifa wametolewa halafu ligi wanacheza utumbo.
Ushavurugwa tayari, kagera walishachukua point 3 kwenu tayariHii mechi nataka iishe simba 4 Geita 3
Hayo matatu ya kagera iwe ni hatrick
Sisi tunataka George afunge hata hat trick hatujali. Tunachotaka game iishe sare au mfungwe ili tutangaze ubingwa mapema tusichoshane.Wewe mwenyewe hauko tayari kumuona George mpole akifunga tena
Kati ya watu ambao hawataki kuona George Mpole akifunga sio tena Simba bali ni nyinyi Yanga
Sasa unasemaje?
Uko tayari kuona mwana anachukua kiatu mbele ya mayele au unyuti na kujifanya hujaona mpira waliounawa simba ili angalau gape la magoli liwe dogo?
Acha uoga wewe,subiri dawa yako inaandaliwa,tujue zile sare mmezipatajenamuona kocha NABI Kirumba stadium...
23 ana game kirumba na biashara utd....28th ana game na SIMBA ..
hivi TFF kuchagua nusu fainal ya FA kuchezea kirumba, ratiba haikuwa on favor kwa YANGA kweli..???
najaribu ku connect tabia za TFF kwa mwaka huu...[emoji3064][emoji3064]
Bado anahangover naoUshavurugwa tayari, kagera walishachukua point 3 kwenu tayari
kulikuwa na aibu gani iliyotokea labda.Wacha tuwaone jamaa zetu watakavyohangaika leo hakuna namna ni aibu nyingine tena
Sem uwezo huna ,sio utaachia, uwezo wa kuzuia haupoTuna jambo letu tarehe 28 . Hatuna haja na Geita. Tutamwachia mpole afanye yake ili mwandamane kwenda Ikulu kwa mama.
Kwani baada ya mechi ya leo, Simba si achezi tena mpaka tarehe 28 ama ipoje?namuona kocha NABI Kirumba stadium...
23 ana game kirumba na biashara utd....28th ana game na SIMBA ..
hivi TFF kuchagua nusu fainal ya FA kuchezea kirumba, ratiba haikuwa on favor kwa YANGA kweli..???
najaribu ku connect tabia za TFF kwa mwaka huu...[emoji3064][emoji3064]
Kushindana na wachawi unadhani mchezo?Ukisoma comment za uto utagundua pamoja na kuongoza ligi hawana furaha.
Kipo sahihiHebu soma ulicho ki reply hapo mkuu
Japo najua awali nilichapia lakini nikafanya update ya fasta fasta na wewe umekuja kui quite wakati tayari nisha edit
Mkuu wanangu hawatakula Simba na Yanga 🤣OKW BOBAN SUNZU mbona mnajificha wakati yule mnayemuombea kafunga goli??
Yeah hachezi tena,huyo kavurugwa tuKwani baada ya mechi Simba si achezi tena mpaka tarehe 28 ama ipoje?
Huyu jamaa mechi za Simba kaingia zotenamuona kocha NABI Kirumba stadium...
23 ana game kirumba na biashara utd....28th ana game na SIMBA ..
hivi TFF kuchagua nusu fainal ya FA kuchezea kirumba, ratiba haikuwa on favor kwa YANGA kweli..???
najaribu ku connect tabia za TFF kwa mwaka huu...[emoji3064][emoji3064]
Dah mkuu acha tu Simba leo imecheza ushuzi mtupu vijna wa geita gold wanamiliki mipira mguuni vzur kabisa kocha aliangalie second half kinyume na apo vijana wa geita wanachukua point tatu leoSiuoni kabisa ule mpira wa Simba hata wakati ambao timu ilicheza chini ya kiwango