FT: Ligi Kuu Bara | Geita Gold FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba | Leo Mei 22, 2022

Sikujua kama una akili ndogo hivi anyways nguvu moja
 
Inonga kwanini leo hajacheza au ni majeruhi?
 
Toa Sackho ingiza Banda akimbize. Huyo kocha ni tatizo sana.
 
hivi hakuna mbadala wa KIBU ..mipira mingi inapotolea kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…