FT: Ligi Kuu Bara | KMC FC 1-3 Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba 26/12/2022

FT: Ligi Kuu Bara | KMC FC 1-3 Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba 26/12/2022

Mbona leo ni kama wana simba tunaenda kubeba droo nyingine?
 
Nyie endeleeni kuchambua mkataba wa Fei sisi ngoja tuwachambulie mechi yenu hii ya leo.
 
S

Si ulisema unahamia Jukwaaa la mapenzi?? GENTAMYCINE akishinda?
Kwani ameshatangazwa mshindi?

Atakapo tangazwa tu, nitawasiliana mara moja na mwanasheria wangu mbobevu na mwandishi nguli wa habari ndugu Pascal Mayalla, ili nione athari zitakazo jitokeza baada tu ya mimi Tate Mkuu kuhamia jukwaa la MMU.

Na kama atanisbauri niendelee kubaki huku, basi sitakuwa na namna nyingine.
 
Kama itapendeza eight point clear leo. Wote tuseme Amen
Screenshot_20221226-091525.jpg
 
Kwani ameshatangazwa mshindi?

Atakapo tangazwa tu, nitawasiliana mara moja na mwanasheria wangu mbobevu na mwandishi nguli wa habari ndugu Pascal Mayalla, ili nione athari zitakazo jitokeza baada tu ya mimi Tate Mkuu kuhamia jukwaa la MMU.

Na kama atanisbauri niendelee kubaki huku, basi sitakuwa na namna nyingine.
Hamna cha kutangazwa tayari matokeo yameshajionyesha pale...huyo usiemtaka ndo mshindi
 
00' Naaaaaam mpira umeanza Uwanja wa CCM de Kirumba

KMC FC 0-0 Simba SC
 
Hamna cha kutangazwa tayari matokeo yameshajionyesha pale...huyo usiemtaka ndo mshindi
Kwa hiyo na wewe umekubali matokeo hata kabla ya mshindi kutangazwa!!

Kumbe nilikuwa sahihi kabisa kugomea mchakato mzima. Yaani mgombea unakubali kirahisi tu kushindwa!!
 
06' Mchezo unaendelea huku kila timu ikijaribu kutafuta bao la kwanza kwa mashambulizi kadhaa pande zote.
 
Hii perfomance sio ya Simba tunayoijua
 
Back
Top Bottom