muokotamatunda
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,614
- 1,202
huku juu tuna ganda.Karibu kwenye show za jangwani hatushidi 7 ila kileleni ni nyumbani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huku juu tuna ganda.Karibu kwenye show za jangwani hatushidi 7 ila kileleni ni nyumbani
[emoji4] duuyanga acha wapigwe tu
Nipo hapa Kiwanja cha ndege nasubiria misa ya kuukaribisha mwaka...nawaombea muweze kupiga mabao mengi..kuwa kileleni kwa bao chache hakuna mvuto
Wameambulia kagoli kamoko ka mchongo 😆Nipo hapa Kiwanja cha ndege nasubiria misa ya kuukaribisha mwaka...nawaombea muweze kupiga mabao mengi..kuwa kileleni kwa bao chache hakuna mvuto
Wanasema kikubwa point tatu ila hawana furaha...raha ya Simba kila mchezaji ni mfungaji...inaleta rahaWameambulia kagoli kamoko ka mchongo 😆
Wa kwanza manula,kidogo avunjwe nyongaKwa mwendo huu, kila kipa atakayekutana na K![emoji1006] anaswali la kujibu.
Wanasema kikubwa point tatu ila hawana furaha...raha ya Simba kila mchezaji ni mfungaji...inaleta raha
Ahahaaaaaa....Wanatamani kusema kipa kapokea bahasha ila wakikumbuka manula alivyotawanywa wanabaki kusonya
View attachment 2464497
wewe hujielewi bwegeWanasema kikubwa point tatu ila hawana furaha...raha ya Simba kila mchezaji ni mfungaji...inaleta raha
Calm down ushabiki sio uaduiwewe hujielewi bwege
Gepu la point 6 ndo linalowakosesha usingiziWanasema kikubwa point tatu ila hawana furaha...raha ya Simba kila mchezaji ni mfungaji...inaleta raha
Bao bao tu mama, unataka mabao mengi utaweza show?Nipo hapa Kiwanja cha ndege nasubiria misa ya kuukaribisha mwaka...nawaombea muweze kupiga mabao mengi..kuwa kileleni kwa bao chache hakuna mvuto
Ndo kazuri kamoja tu cha nguruweWameambulia kagoli kamoko ka mchongo [emoji38]
Huyo kichwa kikubwa, akili kisoda. Ni wa kupuuzwa.Kuna huyu mchambuzi sijui huwaga ana matatizo gani?