Mnachihangu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2022
- 890
- 1,022
kwahiyo wewe binafsi mumeo akifanya hivyo utarudi kwenu?Imagine upo kwenye tv unasikia mumeo anapiga vigelegele kama mmama. Hawa Utopolo ni vituko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo wewe binafsi mumeo akifanya hivyo utarudi kwenu?Imagine upo kwenye tv unasikia mumeo anapiga vigelegele kama mmama. Hawa Utopolo ni vituko
bao 1 lililopigwa ugenini huzaa 12Siwaonii humu wazee wa bao moja
Subiri mwisho wa ligi utajua nini maana ya goli 7 utopolo weweMagoli 7 points 44, Goli 1 points 50 kweli kupanga ni kuchagua[emoji1][emoji1][emoji1430]
Subiri mwisho wa ligi utajua nini maana ya goli 7 utopolo wewe
Dah! 🤓 Pale kweli inavyoongelewa kama utani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyie Paka Bado Mna Ndoto Za Ubingwa ?? … Af Sio Tu Kuchukua Ubingwa Yaani Hata Mkikaa Hapo Juu Ya Yanga Kwa Siku Kadhaa Mniite Matako Buku….Nimekaa Hapa.
Subiri mwisho wa ligi utajua nini maana ya points 6Subiri mwisho wa ligi utajua nini maana ya goli 7 utopolo wewe
Na kwako piaHappy New Year Wana Yanga [emoji3059][emoji3060]
[emoji172][emoji169]
Hio ndoto futa kabisaSubiri mwisho wa ligi utajua nini maana ya goli 7 utopolo wewe
Nakuita MATAKO YA WACHEZA UCHI AU YALIYOCHOMEKWA MWIKO in advance.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyie Paka Bado Mna Ndoto Za Ubingwa ?? … Af Sio Tu Kuchukua Ubingwa Yaani Hata Mkikaa Hapo Juu Ya Yanga Kwa Siku Kadhaa Mniite Matako Buku….Nimekaa Hapa.
Nakuita MATAKO YA WACHEZA UCHI AU YALIYOCHOMEKWA MWIKO in advance.
hawa jamaa wanaimba saidoo kila kukicha wakat ni kapi la yanga,ni aibuMagoli 7 points 44, Goli 1 points 50 kweli kupanga ni kuchagua[emoji1][emoji1][emoji1430]
Na mechi ya makolo vs Yanga kwa mkapaTukutane Kwa Mkapa
Mechi 5 zijazo za YANGA
Yanga vs Ihefu kwa mkapa
Yanga vs Ruvu kwa mkapa
Yanga vs Namungo mkapa
Kmc vs Yanga kwa mkapa
Yanga vs geita kwa mkapa
Hapo ndiyo tutakapo tangazia ubingwa
Uyo mchambuzi ana kichwa kama parachichi huwa ni mgonjwa wa akili sijui Yanga ilimfanya niniKuna huyu mchambuzi sijui huwaga ana matatizo gani?