FT: Ligi Kuu Bara: Mtibwa Sugar 0-1 Yanga : Uwanja wa Manungu : 31/12/2013

FT: Ligi Kuu Bara: Mtibwa Sugar 0-1 Yanga : Uwanja wa Manungu : 31/12/2013

Uwanja ulikuwa mbovu plus maji mengi kutokana na mvua zilizokuwa zinafululiza kunyesha

Wengine tupo mbali na screen hatuwezi sema chochote ila condition ya uwanja tuliyoikuta kipindi kile sidhani kama inaweza kufanana na hali ambayo ipo sasa
Vipi mgunda abaki au aondoke?
Anauliza Mo.
 
Wanatamani kusema kipa kapokea bahasha ila wakikumbuka manula alivyotawanywa wanabaki kusonya
Screenshot_20221231-170137.png
 
Uwanja ulikuwa mbovu plus maji mengi kutokana na mvua zilizokuwa zinafululiza kunyesha

Wengine tupo mbali na screen hatuwezi sema chochote ila condition ya uwanja tuliyoikuta kipindi kile sidhani kama inaweza kufanana na hali ambayo ipo sasa
Uwanja bado mbovu kupindukia
Hauna viwango vya kucheza LIGI KUU
ebu fikilia mashbiki mnakalia mabenchi kama mpo katika vibanda umiza tena mambao mengine yapo juu ya mawe dah yaan mateso
Kama mechi za mchangani
20221231_170149.jpg
20221231_170025.jpg
 
Back
Top Bottom