Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Kila la kheri Yanga, msiotegemea red card ili mshinde magoli mengi.
Goli 3 tu zaidi ya hapo ni mbwembwe na mapovu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Goli 3 tu zaidi ya hapo ni mbwembwe na mapovu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wewe huapati?Butawadharau sana Mtibwa kama wasipopata point tatu leo,kama Ihefu waliweza wao wanashindwaje?
Vipi mgunda abaki au aondoke?Uwanja ulikuwa mbovu plus maji mengi kutokana na mvua zilizokuwa zinafululiza kunyesha
Wengine tupo mbali na screen hatuwezi sema chochote ila condition ya uwanja tuliyoikuta kipindi kile sidhani kama inaweza kufanana na hali ambayo ipo sasa
Nongwa imekukaba kwenye koo.Goli la bahasha ,, goli la maagizo
Uwanja bado mbovu kupindukiaUwanja ulikuwa mbovu plus maji mengi kutokana na mvua zilizokuwa zinafululiza kunyesha
Wengine tupo mbali na screen hatuwezi sema chochote ila condition ya uwanja tuliyoikuta kipindi kile sidhani kama inaweza kufanana na hali ambayo ipo sasa
Mpe Hi hiyo pisi yenye jeans black mwambie ‘Me ni Yaaangaa’Uwanja bado mbovu kupindukia
Hauna viwango vya kucheza LIGI KUU
ebu fikilia mashbiki mnakalia mabenchi kama mpo katika vibanda umiza tena mambao mengine yapo juu ya mawe dah yaan mateso
Kama mechi za mchanganiView attachment 2464504View attachment 2464505
Since this day Air Munula ilibadilika na kuwa MV Manula.Wanatamani kusema kipa kapokea bahasha ila wakikumbuka manula alivyotawanywa wanabaki kusonya
View attachment 2464497
Umeshinda 7,vipi kileleni upo wapi mkiaHiki kikosi leo lazima kichomolewe mwiko na kuchomekwa. Ni 2 Mtibwa na 1 Yanga.
Kwenye mashamba lazima mwananchi abakwe
Wamuulize dada yao aishaFree Kick Za Aziz Ki Huwa Hazidakwi..[emoji23][emoji23][emoji23]
MawenziUmeshinda 7,vipi kileleni upo wapi mkia
Huyo mwenye jeans ya bluu iliyobana chini anaonekana ana rangi, miguu, na umbo zuri!Uwanja bado mbovu kupindukia
Hauna viwango vya kucheza LIGI KUU
ebu fikilia mashbiki mnakalia mabenchi kama mpo katika vibanda umiza tena mambao mengine yapo juu ya mawe dah yaan mateso
Kama mechi za mchanganiView attachment 2464504View attachment 2464505
Acha wivu wa kikeUmeshinda 7,vipi kileleni upo wapi mkia