Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
HT Simba 1-0 Namungo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni goal halaliSimba Tunaongozaaaaa
Ila Nina Wasiwasi Haikuwa Offside Hii?
Kibu ni NTU WA DILI HAPO SIMBA! yaani NCHEZAJI HEWA!(umeelewa@simba lunyasi)???Ila Kibu D tulipigwa za USO.. pale hakuna mchezaji
Ila Kibu D tulipigwa za USO.. pale hakuna mchezaji
Atoke Kibu aingie Kyombo[emoji16][emoji28]Kibu mechi imemkataa ningekuwa Mgunda ningefanya sub mapema kwenye dakika za mwanzo za kipindi cha pili
Gharib Mzinga huyo ana data zakutosha yani anatangaza ki professional .yuko vizuri hataki sifa za kijingaHuyu Mtangazaji Wa Azam Nafikiri ndio Mtangazaji Bora Kwa Sasa Wa Soka Tanzania.
Ana Mzidi Baraka Mpenja Mbali sanaaaaa…. kuanzia Utamshi Wa Maneno, Habari anazo Tupasha, Anavyo Pangilia Matangazo na Kila kitu. Hana storiii za Kipuuzi puuzi.
Huyu Ni Mtangazaji Bora Kwa Sasa Kwa Maoni yangu. Simjui Vizuri jina Ni Gharib Mzinga Sijui
Wote wale wale tuAtoke Kibu aingie Kyombo[emoji16][emoji28]
Tatizo wakuingia ni nani,Kiyombo nae vile vile tu afdhali yake ni kidogo sana labda amjaribu Bocco na nje hatuna winga yoyoteKibu mechi imemkataa ningekuwa Mgunda ningefanya sub mapema kwenye dakika za mwanzo za kipindi cha pili
Mechi ipi iliyomkubali?? Acha kububali vitu vibovu vinavyoonekana hata na kilaza... Kibu ni mchezaji wa timu ndogo Simba ni kubwa sana kwake...Kibu mechi imemkataa ningekuwa Mgunda ningefanya sub mapema kwenye dakika za mwanzo za kipindi cha pili
Ila yupo vzr sana sema hatuna shukurani popote anauzikaSakho anatumia nguvu sana ili asiachwe dirisha dogo
Yaani hapo ndio unapowashangaa viongozi wa vilabu vyetu.. saido ni mashine haswa ilee inakupa uhakika wa goli na assist za kutoshaSaido Ntibazonkiza ananafasi ya kufanya vizuri sana Simba, sijui kwanini walimchukua Okwa wakaachana na Saidoo!