ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Dakika ya 14 Bila Bila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Orodhesha kwanza mifumo unayoijua tuone kama ni kweli unaelewa swali uliloulizaHivi simba Tunacheza Mfumo Gani?
Orodhesha kwanza mifumo unayoijua tuone kama ni kweli unaelewa swali ulilouliza
Yeah, at least nimeshajua ni miongoni mwa aina gani ya mashabikiMfumo wa Maji Taka.
Mfumo Wa Maji Safi.
Huyu Mtangazaji Wa Azam Nafikiri ndio Mtangazaji Bora Kwa Sasa Wa Soka Tanzania.
Ana Mzidi Baraka Mpenja Mbali sanaaaaa…. kuanzia Utamshi Wa Maneno, Habari anazo Tupasha, Anavyo Pangilia Matangazo na Kila kitu. Hana storiii za Kipuuzi puuzi.
Huyu Ni Mtangazaji Bora Kwa Sasa Kwa Maoni yangu. Simjui Vizuri jina Ni Gharib Mzinga Sijui
Kama.utopolo inavyobambaLimedumu la MBUMBUMBU FC lije lipite la NGADA FC..!!?? Nani kasema?