OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kama anavyoingia Kibu kujaribu bahati yake (maana mpira hawezi) kocha aingize wengine wajaribu habati zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza kumkataa Kibu? [emoji2][emoji2]Kama anavyoingia Kibu kujaribu bahati yake (maana mpira hawezi) kocha aingize wengine wajaribu habati zao
Vipi mbona unanichekeaUmeanza kumkataa Kibu? [emoji2][emoji2]
Wanafanya makosa sana kumkata Kibu, ni wa kuachwa tu aende maana madhara hana.Yani kibu kawa muhanga wa kuchezewa faulo
Hakuna bao la ivo acha kupotosha jamiiKuna bao hapa Simba ilifunga ila limekataliwa kuwa ni offside
Wataka nikulilie mzee?Vipi mbona unanichekea
Andika kama mwanaume sio kucheka cheka. Mtu akifanya vizuri atasifiwa akiboronga atasemwa. Hata hiyo akili ya kujua jambo dogo kama hilo huna?Wataka nikulilie mzee?
Hatimaye umeanza kumkataa Kibu? Kweli kila goti litapigwa.
HaswaaaaaaMoses Scars Phiri hata asipofunga ila ana mavitu yanayofanya asiboe