FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 1-0 Namungo FC | Stade de Benjamin Mkapa 16/11/2022

Hii simba amekoswa vibaya...
Ilikuwa simba adrop point dk 90
 
90+2' Kuelekea kumalizika kwa mchezo

Naaam mpira umekwishaaaaaa ambapo Simba SC wanaibuka na ushindi wa bao moja kwa bila dhidi ya Namungo FC

FT: Simba SC 1-0 Namungo FC
 
Andika kama mwanaume sio kucheka cheka. Mtu akifanya vizuri atasifiwa akiboronga atasemwa. Hata hiyo akili ya kujua jambo dogo kama hilo huna?
Hajawahi kujua, hamna cha kufanya vizuri wala vibaya, Kibu ni mchezaji asiye na akili ya mpira bali nguvu nyingi zisizo na impact.

Na kuhusu kuandika, tusipangiane, naandika nitakavyo mimi sio utakavyo wewe.
 
Mh hii simba utamaliza nafasi ya 3 au ya 4 msimu huu!!!
Simba tukimaliza runner up ni jambo lakushukuru aisee tuna mizigo mingi sana kwenye timu.hata champions league nawasi wasi tukaharibu records zetu zakufanya vizuri wacha tuone
 
Donoa hii
 
Simba tukimaliza runner up ni jambo lakushukuru aisee tuna mizigo mingi sana kwenye timu.hata champions league nawasi wasi tukaharibu records zetu zakufanya vizuri wacha tuone
Kwa sasa tumewekeza kwenye Ujenzi wa uwanja
 
Mtoto wa baba mdogo na Mtoto wa baba mkubwa walikuwa wanacheza leo!
 
Moses Scars Phiri ni mchezaji mwenye thamani kubwa sana kupitia miguu yake

Sijui kama wenzangu mnapata wasiwasi huu naoupata mimi kila muda napoangalia high performance ya huyu mwamba?

Hofu yangu ni kwamba misimu ijayo upo uwezekano wa kumkosa kwenye Club ya Simba na hiyo itachangiwa na kutojizuia kuonesha kiwango chake chenye high voltage kwenye michuano ya Club bingwa.

Hilo ndio eneo nalo hofia, huku ukanda wa Africa sina wasiwasi napo najua hakuna Club yeyote inayoweza ku afford bei yake, labda kama Simba iamue kumnunua tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…