Hii mechi naona Simba yangu inaenda kukalia mua wa Kagera Tena lazima uzame wote.. Hawa Kagera nawajua hawana huruma walitutoboa mbele ya Rais wa chato tena tundu la kwanza kabisa
Yanga wasingeshinda leo...roho za umauti zingewalilia sana kwa wale walio fariki katika ile ajali ya bagamoyo...,Mungu awalaze mahali pema pepon...ulikuwa mchezo muhimu sana kwa ushindi wa Yanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.